.
Wandowa Titus
  • Home
  • About Me
  • Leadership
    LeadershipShow More
    Dhambi inayokusumbua leo ndiyo inayoangamiza kesho yako.
    4 Min Read
    Viongozi hula mwishoni (leaders eat last)
    1 Min Read
    Sababu 5 kwanini watu wanaondoka kwenye maisha yako.
    5 Min Read
    Amani ya moyo ndio nguvu ya kesho yako
    3 Min Read
  • A woman
    A womanShow More
    Ujana wangu Utu wangu
    8 Min Read
    Mitindo ya mawasiliano katika mahusiano
    4 Min Read
    Kabla simruhusu binti yangu!
    4 Min Read
    Kwanini 89% ya wanawake wasomi wanaomba talaka?
    1 Min Read
  • Shop
  • Contact Us
Font ResizerAa
Wandowa TitusWandowa Titus
0
  • Mind Growth
  • Leadership
  • A woman
Search
  • Mind Growth
  • Leadership
  • A woman
Follow US
Mind Growth

Sonona ni nini?

wandowa By wandowa Last updated: September 8, 2025
Share

Sonona (Depression) ni hali ya kutokua na furaha na kushindwa kuona uchanya wa jambo lolote lile linalohusiana na maisha, sambamba na kuhisi huzuni nzito na hasira.

Watu wenye njaa ya mafanikio hawatazamii ukubwa wa changamoto bali wanatazamia ukubwa wa ndoto.

Faraja Peter

Dalili za sonona (Depression) ni zipi?
i) Hali ya hasira wakati wote
ii) Kupoteza hali ya kufanya jambo
iii) Kukosa usingizi kabisa au kulala kupita kiasi
iv) Mabadiliko katika hamu ya chakula
v) Uchovu usio wa kawaida
vi) Kuhisi unyonge
vii) Kutokujiamini
viii) Ugumu katika kuzingatia mambo

Dalili hizi unaweza usiwe nazo zote ila kuna baadhi zinaweza kuwa sumbufu kwako au ndiyo inakutokea mara kwa mara

Utawezaje kudhibiti Sonona?
i) Epuka kuhufadhi mambo mengi bila kushirikisha watu/mtu unayemwamini
ii) Epuka mambo yanayochochea kusononeka ama kukaa mahali unaanza kuwa na hisia za huzuni au kulalamika juu ya jambo fulani.
iii) Fanya mazoezi mara kwa mara ili akuifanya akili yako kutokuwa inawaza jambo moja au ama kuwaza sana katika jambo linalokusumbua
iv) Zungukwa na watu wanaotambua ubora na uzuri wako
v) Jipe muda , kuwa na utulivu utafikia malengo yako!
Soma kitabu changu kinachopatikana katika kurasa ya Shop



SOURCES:rubynews.comschoolnews.com
VIA:ThemeRuby
Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp LinkedIn Telegram Copy Link
Previous Article Sababu 5 kwanini watu wanaondoka kwenye maisha yako.
Next Article Mitindo ya mawasiliano katika mahusiano
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Daily Feed

Kwanini Vijana wengi wanasumbuliwa na uraibu wa ngono (Sexual addiction)?
September 8, 2025
Sonona ni nini?
September 8, 2025
Ujana wangu Utu wangu
September 5, 2025
Kabla simruhusu binti yangu!
August 2, 2025

You Might Also Like

LeadershipMind Growth

Dhambi inayokusumbua leo ndiyo inayoangamiza kesho yako.

December 7, 2024
LeadershipMind Growth

Amani ya moyo ndio nguvu ya kesho yako

October 21, 2024
Mind Growth

Usipoteze picha ya kwanza

December 7, 2024
Mind Growth

Kwanini unafikiri watu wengine wanafanikiwa kuliko wewe?

December 7, 2024

Thank you for Visiting My Website.

  • Leadership
  • A woman
  • Shop
  • Mind Growth

All Rights Reserved  © Wandowa Titus 2024. Powered by NETPOA

Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?